Mnamo Julai 2008, Coquelin alijiunga na Arsenal kutoka Stade Lavallois kufuatia mafanikio katika majaribio yake na klabu. Ingawa alipata jeraha la paja lililosimamisha majaribio yake,alikuwa amewavutia wataalam wa Arsenal na akapewa mkataba na klabu. Coquelin alicheza kwa mara ya kwanza katika timu ya Arsenal alipocheza katika mechi ya kabla msimu dhidi ya Barnet na Szombathelyi Haladas na akacheza mechi yake ya kwanza kubwa kwa timu hiyo katika ushindi wao dhidi ya timu ya Sheffield United mnamo 23 Septemba 2008.Aliingia kama mchezaji mbadala kwa Fran Merida na kucheza kama difenda katika mechi hiyo waliyoshinda 6-0. Coquelin alifunga bao lake la kwanza kama mchezaji wa Arsenal katika mechi ya timu hifadhi dhidi ya Stoke City mnamo 6 Oktoba 2008 kwa mkwaju wa nguvu na mguu wake wa kushoto.
Francis Coquelin alijiunga na klabu ya Arsenal mwaka gani?
Ground Truth Answers: 200820082008
Prediction: